Makampuni mengi yamekuwa na tabia ya kujitangaza kwa aina mbalimbali kama vile kuchapisha matangazo yao kwenye furana na sehemu nyingine muhimu mmoja wa wapigapicha mahiri nchini akiwa kazini huku amevalia furana iliyokuwa na tangazo la vodacom, Lakini nchi nyingine ukivaa kama hivyo unakuwa na uhakika wa kulipwa hepu angalia umati wa watu waliofurika uwanjani wakimshangaa jamaa huyo na camera yake pamojana tangazo hilo kifuani.Vodacom nadhani mmemwona kijana huyo mchapa kazi anavyo wafagiria muda wote mtoeni basii.
November 12, 2009
VODACOM MMEMWONA HUYU MPIGAPICHA ANVYOWAFAGILIA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
















1 comment:
tumemwona, tafadhali tupatie contacts zake for compensation!
mafuru.
markerting manager
Post a Comment