Welcome to pwaniraha blog please contribute by posting your comments on our blog, kindly note that abussive language is strictly not entertained. Thank you.
Welcome To Pwani Raha Blog; email us at "pwaniraha@gmail.com"

September 16, 2009

Mazishi Ya Mpakanjia Jana.

Kutoka kushoto ni Steve Kanumba, Ali Choki, Ray na Laurent Wahuzuria.


Watoto wa marehemu Mohamed Mpakanjia.

Muumini Mwijuma akiwa na Rogerti Katapila.

Marehemu akiwa katika nyumba yake ya milele.

Baba wa marehemu Amina Chifupa aliyevaa vazi la bluu pia alikuwepo mazishini.

Umati uliyofika kumzika Mohamed Mpakanjia katika makaburi ya Kisutu hapo jana.

2 comments:

~PakKaramu~ said...

Inna lillahi wainna ilahi rajiuun !

Anonymous said...

hao wasanii wanaocheka na kujishebedua wapo msibani au kwenye sherehe? tuheshimu mikusanyiko ya misiba kama hatuwezi kuwa serious basi tusiende.