Inasikitisha: Baadhi ya akina mama wajawazito wakiwa nje ya wodi ya wazazi katika hospitali ya Wilaya ya Ludewa ambapo jengo hilo lina vitanda 6 na kila kitanda hutumiwa na akina mama wajawazito wawili. Wengine hulazimika kulala chini.
August 13, 2009
Hospitali ya Ludewa
Inasikitisha: Baadhi ya akina mama wajawazito wakiwa nje ya wodi ya wazazi katika hospitali ya Wilaya ya Ludewa ambapo jengo hilo lina vitanda 6 na kila kitanda hutumiwa na akina mama wajawazito wawili. Wengine hulazimika kulala chini.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
















5 comments:
:-(
yani hii ndio hospitali?
kama hii ndo hospitali ya wilaya, hatujafika bado safari ni ndefu.
Ndugu yangu tuache utani, this cant be a district hospital, despite our country being poor. mbona za wilaya'zao' nzuri tu.
Hata hivyo picha ya juu inantoa udenda nawapenda sana dagaa wa nyasa hunambii. asiyewahi kuwala hajui
hii picha ya mwisho ni potofu mzee wa pwani....usahihi ni kuwa jengo hili ndilo uliloita waiting home si kweli kuwa ni wodi ya wazazi.hapa wanakaa kusubiri siku ya ujio wa mtoto na ni kam mita 200 toka ilipo hospitali sahii na hii nyumba ilibangishwa na serikali ilim kuondoa adha kwa wakazi wa mji wa ludewa ambao walikuwa na kazi ya kupokea mama wajawazito kutoa vijijini wakisubiri kujifungua,sisi wenye ndugu kadjhaa ilikuwa kila baada ya wiki mbili unapokea mgeni au wageni wa aina hiyo hivyo duu ilihitaji uvumilivu,lakini baada ya hii nyumba kidogo tumesaidiwa hatupeani lawama tena.......mdau mkubwa wa ludewa na vitongoji vyake
Post a Comment