doris mbaye show details 9:12 PM (12 hours ago) Reply
Hello
My name is Doris and i am a beautiful young girl with faithful, loving, tender and very caring. I am seriously looking for relationship leading to any thing. Today i saw your profile today and i love it, i think we can writetogether.please i will like you to contact me through this my email address thus;(Doris_baby179@yahoo.com)
thanks for your understanding
Doris
Hello
My name is Doris and i am a beautiful young girl with faithful, loving, tender and very caring. I am seriously looking for relationship leading to any thing. Today i saw your profile today and i love it, i think we can writetogether.please i will like you to contact me through this my email address thus;(Doris_baby179@yahoo.com)
thanks for your understanding
Doris
Ukipata barua kama hiyo hapo juu, ujue kuwa unataka kuchezewa game flani na sio kuwa umebahatika kwa kupata mchumba. Ushauri wangu ni kuwa barua hii usiijibu kabisa maana ukifanya hivyo unaweza kushawishika au email yako ikawa katika orodha ya email zinazotumika kwenye wizi wa 419. Wizi wa 419 ulianza miaka ya tisini na ulishamiri sana katika miaka hii ya elfu mbili na kuendelea. Wizi huu ni maarufu sana wezi hawa wanatokea nchi za Afrika Magharibi sana sana Nigeria. Wizi huu ulibandikwa jina la 419 kutokana na kifungu cha sheria ya Nigeria cha 419 kinachozuia mtu kujipatia hela kwa njia ya udanganyifu.
Wezi hawa zamani walikuwa wanajifanya wanahela nyingi nchini kwao ambazo wanataka kuzihamisha ziende nje kisha wanakuomba uwasaidie kufanikisha zoezi hilo na baadaye watakupa asilimia fulani kama posho yako. Mkwara wao unafika mbali maana wanaweza kukutumia ticketi ya ndege na malazi ili mradi uwaamini kuwa wao hawatanii na ni wa kweli. Ukifika nchini kwa utapelekwa mpaka kwenye ofisi za serikali iliuone kama vile hela zitaingizwa kwenye akaunti yako. Baada ya mkwara huwo wanakuomba namba ya akaunti yako kwa madhumuni ya kukutumia hela, kisha wanaanza kukuomba hela ya kufanikisha zoezi la kuhamisha fedha kwenye akaunti yako. Utaombwa hela mfululizo mpaka ukome wakiona wamekunyonya vyakutosha wanakata mawasiliano na ndio kimoja hivyo.
Fundisho:
1. Hela haiji hivi hivi bila ya kuitolea jasho.
2. Hakuna mtu anaweza kukutumia wewe hela bila ya kukufahamu, hilo halipo kabisa.
No comments:
Post a Comment