Welcome to pwaniraha blog please contribute by posting your comments on our blog, kindly note that abussive language is strictly not entertained. Thank you.
Welcome To Pwani Raha Blog; email us at "pwaniraha@gmail.com"

April 6, 2009

SABA SABA

Mmoja wa wafanyabishara wa nyama choma mwenye asili ya asia akichoma nyama choma katika viwanja vya sabasaba wakati wa maonyesho yaliyofganyika hivi karibuni.

Jumanne Hamisi ambaye nimfanyabiashara ya mitumba katika soko la Ilala jinini Dar es Salaam, walemavu wanahitaji kuwezeshwa zaidi.

1 comment:

Simon Kitururu said...

Hapa naona kulikuwa na kazi!