
Mshike mshike pale Leaders Club ambapo mwanamuziki wa Kimarekani Chanigy aliopfanya shoo hapa jijini ilikuwa balaa baada ya kuwapagawisha akinadada wa kibongo ambao wakisha ona mwanamuziki toka marekani basi wao huchanganyikiwa. Onyesho hilo lilihudhuriwa na wasanii hapa bongo wakiwaemu Chid Benz ,Ay, Profesa J na wengine ni Dogo Mfaume.
No comments:
Post a Comment