Pia wafanyabiashara hao kupitia viongozi wa soko hilo walipeleka pendekezo la mabaoresho ya soko kwa kujengwa soko la kisasa ikiwa ni pamoja na kuiomba manispaa kutoa mapendekezo ya mchoro wa soko la kisasa lakini hadi hivi sasa hakuna kitu kama hicho. Uboreshani wa soko hilo unategemea kugharimu kisai cha shilingi milioni 250,000,000 ambazo tayari manispaa wameshapelekewa mapendekezo hayao.
April 8, 2009
HALI KATIKA SOKO LA MBAGALA
Pia wafanyabiashara hao kupitia viongozi wa soko hilo walipeleka pendekezo la mabaoresho ya soko kwa kujengwa soko la kisasa ikiwa ni pamoja na kuiomba manispaa kutoa mapendekezo ya mchoro wa soko la kisasa lakini hadi hivi sasa hakuna kitu kama hicho. Uboreshani wa soko hilo unategemea kugharimu kisai cha shilingi milioni 250,000,000 ambazo tayari manispaa wameshapelekewa mapendekezo hayao.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
















No comments:
Post a Comment