Welcome to pwaniraha blog please contribute by posting your comments on our blog, kindly note that abussive language is strictly not entertained. Thank you.
Welcome To Pwani Raha Blog; email us at "pwaniraha@gmail.com"

February 21, 2009

UKAGUZI WA MAGARI

Gari la mshiriki mmojawapo wa mbio za magari kutoka Tanzania, Issack Taylor likiwa katika ukaguzi uliofanyika jana katika kituo cha mafuta cha Kobil cha Barabara ya Sam NujOma, jijini Dar es Salaam.Mashindano ya mbio za magari yanafanyika leo yakianzia kituo cha Mliman City kupitia barabara za Pugu hadi Chanika, jumla ya magari 27 kutoka nchi za Burundi, Rwanda, Kenya Uganda na Tanzania yamo katika orodha ya kushiriki mbio hizo.


Ukaguzi wa magari uliofanyika katikia kituo cha Kobil kilichopo Mwenge barabara ya Samjoma.

No comments: