Welcome to pwaniraha blog please contribute by posting your comments on our blog, kindly note that abussive language is strictly not entertained. Thank you.
Welcome To Pwani Raha Blog; email us at "pwaniraha@gmail.com"

February 21, 2009

MBIO ZA MAGARI ZAFUNGULIWA MLIMANI CITY JANA

Wasanii wa kikundi cha sanaa ya ngoma za asili cha Simba Culture up Center cha jijini Dar es Salaam, Fatuma Mohamed, Rachel Nelson na Johari Hamisi wakitumbuiza katika sherehe za ufunguzi wa mbio za magari zilizofanyika Mlimani City jana jioni.

Fatuma Mohamed na Rachel Nelson wakionyesha umahiri wao wa kunengua viuno katika sherehe ya uzinduzi wa magari ,ambapo bendi ya Simba culture na bendi ya Varda Arts walionyesha vitu vyao.
Wapiga ngoma wakitoa burudani.


Jinsi umati watu watu ulivyokusanyika kuangalia uzinduzi huwo.

No comments: