Baadhi ya abiria waliokuwa wakisafiri kuelekea Kigoma na Mwanza wakiwa wamezonga stesheni ya Manyoni baada ya dereva wa treni kugoma wakati walipofika eneo hilo wakidai kuwa hadi shirika hilo liwalipe mshahara wa mwezi wa November.
Huku hakuna magari ya kutoa upepo kama vile mgoma wa Dar.
vurugu kwenda mbele.
Abiria wakiwa ndani ya mabehewa wakisubiri hatima yao ya safari yao.
















No comments:
Post a Comment