Welcome to pwaniraha blog please contribute by posting your comments on our blog, kindly note that abussive language is strictly not entertained. Thank you.
Welcome To Pwani Raha Blog; email us at "pwaniraha@gmail.com"

October 15, 2009

Uzinduzi wa Album ya Prison Voice.

Waimbaji wa bendi ya Top band inayomilikiwa na Khalid Mohamed( Top in Dar) TID

wakiimba moja ya nyimbo zilizomo katika albamu ya Prison Voice wakati alipoizindua katika ukumbi wa Billcanas jijini Dar es Salaam, bendi hiyo itakuwa ikifanya onyesho kila siku ya Jumapili katika Ukumbi huo wenye maraha

No comments: