Welcome to pwaniraha blog please contribute by posting your comments on our blog, kindly note that abussive language is strictly not entertained. Thank you.
Welcome To Pwani Raha Blog; email us at "pwaniraha@gmail.com"

September 1, 2009

Serengeti Boys Kidedea Huko Sudan.

Kuwasili kwa timu ya taifa ya vijana Serengeti boys leo asubuhi majira ya saa 3 na Shirika la Ndege la Kenya, baada yakuifunga wenyeji Sudan 2-0 na kufanikiwa kushika nafasi ya tatu nakutwaa medali ya shaba na usd 5000.

Waziri George Mkuchika akiongea na waandishi wa habari kuhusiana na ushindi wa Serengeti Boys na ujio wao kwa ujumla.

Wachezaji wakiwa kwenye gari la wazi lilolotayarishwa na wadhaminiSerengeti Breweries Limited kupitia kinywaji chao cha Vita Malt plus.


No comments: