Baada ya mchezo huo timu hiyo ilishangilia kwa kuwabeza wakazi wa Dar es salaam kwa kuwaimbia wimbo ulisikika kuwa "mnatusema sisi mdebwedo sasa mtatukoma" hii inatokana na kundi la kuchekesha Orijino lililoanzisha mchezo wa mdebwedo kwa watu wa Zanzanibar. Kesho kutakuwa na nusu fainali nyingine kati ya timu ya morogoro na timu ya tabora mpambano huo unategemea kuwa wa vuta ni kuvute hasa kutokana na timu hizo kuonyesha viwango vya hali ya juu katika michuano hiyo.
July 15, 2009
Timu ya Mjini Magharibi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment