Welcome to pwaniraha blog please contribute by posting your comments on our blog, kindly note that abussive language is strictly not entertained. Thank you.
Welcome To Pwani Raha Blog; email us at "pwaniraha@gmail.com"

July 11, 2009

Nyama Yapanda

Athumani Shabani ambaye ni mfanyabiashara ya nyama katika soko la Buguruni akikata nyama kwa ajili ya kumhudumia mteja wake. Hivi sasa vyama imepanda bei kiasi cha kuwafanya walaji kushindwa kumudu, kilo moja ya ni 3800 hadi 4000. Athumani amelalamikia mamlaka husika kushindwa kudhibiti mfumuko wa bei.

Butcher zetu Bongo zina majina ya ajabu.

No comments: