Welcome to pwaniraha blog please contribute by posting your comments on our blog, kindly note that abussive language is strictly not entertained. Thank you.
Welcome To Pwani Raha Blog; email us at "pwaniraha@gmail.com"

March 14, 2009

WAVUVI WA MELI ILIYOKUWA INAVUA SAMAKI BILA KIBALI WAPELEKWA KORTINI

Wavuvi takriban 35 wa meli iliyokuwa ikivua samaki Tanzania bila kibali walifikishwa mahakamani jana kusomewa mashtaka.

Wavuvi hao wakiwa mahakama ya Hakimu Mkaazi Kisutu.

Baada ya kusomewa mashtaka yao walirudishwa rumande kwa kukosa dhamana. Hivi mimi nauliza kosa la hawa nini haswa ni nini. Maana hawa ni wafanyikazi tu, hivi mtu akiajiriwa sehemu lazima amuulize mwenye kampuni kama ana kibali au la. Hawa wavuvi alipoajiriwa walifurahi sana na wakaanza kazi, kumuuliza muajiri wako kibali ni kama kujitakia matatizo. Mfanyikazi mwenye fursa ya kujua kinachoendelea ni Captain wa Meli husika, wengine wanafuata mkondo.

No comments: