Huyu bwana sio kuwa anaosha miguu, ila ametoka kuchafua mazingira hadharani katika bahari ya hindi karibu na soko la samaki Ferry Jiji Dar es salaam.
Huyu ni mvuvi wa eneo hili la Ferry, wavuvi mara nyingi wakiona bahari hujisikia wako nyumbani, dhana hiyo "sometimes" huwapelekea kuchafua mazingira kwa kuenda haja kubwa pembezoni mwa bahari.
Huyu pia ni mvuvi mwengine ambaye anachafua mazingira, jambo hili sio zuri kabisa na inatakiwa waelimishwe na kutengewa choo ambacho kitakidhi mahitaji yao.
1 comment:
Jamani duh uchafu sana.
Post a Comment