Welcome to pwaniraha blog please contribute by posting your comments on our blog, kindly note that abussive language is strictly not entertained. Thank you.
Welcome To Pwani Raha Blog; email us at "pwaniraha@gmail.com"

February 24, 2009

BONGO DAR ES SALAAM

Muuza madafu katika jiji la Dar es Salaam, akijipumzisha katika viwanja vya Mnazi Mmoja huku akijipongeza na madafu yake mwenyewe.
Mfanyabiashara ya Senene akipanga vizuri bidhaa yake katika soko la maonyesho la Mwalimu Nyerere maarufu kama Sabasaba, senene hao hutoka katika mkoa wa Kagera ambao kwa sasa wameshamiri katika jiji la Dar es Salaam bei yake pia iko juu.

No comments: