Welcome to pwaniraha blog please contribute by posting your comments on our blog, kindly note that abussive language is strictly not entertained. Thank you.
Welcome To Pwani Raha Blog; email us at "pwaniraha@gmail.com"

January 10, 2009

STAR NE-YO

Shaffer Chimere Smith is the real name of (bitozi) Ne-Yo.
Amezaliwa 18th October 1979 huko Camden Marekani.


Have you ever wondered why this chap likes wearing something on the head? is it because it looks good on him?


Lakini kofia zinamtoa bomba.



Au sababu ni hii?

Babake ni mmarekani mweusi na mama yake anamchanganyiko wa umarekini weusi na uchina, wazazi wake wote walikuwa wanamuziki. Kijana huyu alilelewa na mama yake pekee baada mbingi (mbuyu) wake kuwachana na mama yake.

3 comments:

Anonymous said...

Huyu ni jangili, mwangalie macho yake.

Anonymous said...

jamaa anaanza kipara. hivi vipara vina aibu.

Anonymous said...

yuho ni from sweden mzaliwa wa sweden muamiaji wa marekani.napiga kiga swedish vizuriii