Welcome to pwaniraha blog please contribute by posting your comments on our blog, kindly note that abussive language is strictly not entertained. Thank you.
Welcome To Pwani Raha Blog; email us at "pwaniraha@gmail.com"

December 30, 2008

YALIYOJIRI DAR


Mmkaazi mmoja wa Dar es salaam akiwa ameshuka katika kituo cha mabaasi ya mikoani cha Ubungo akitokea Mkoani Iringa leo huku akiwa na kuku. Mama huyu alipoulizwa kama anamuuza kuku huyo, alijibu kuwa pindi tu atakapouona mwaka mpya atamfanya kitoweo.


Huyu mama kama anavyoonekani pichani alikuwa anamnunulia mwanae anayemtarajia kuanza darasa la kwanza mwakani katika maeneo ya Buguruni kwa Mnyamani.

No comments: