Soko la Tandale uchafu wazagaa kama kawa,wananchi wako hatarini kupata magonjwa,
Mapipa ya kuwekea uchafu yakiwa yamejaa na kusababisha barabara kuziba kiasi cha kuwafanya wapita njia kushindwa kupita kutokana na harafu mbaya inayotokana na uchafu huo.
No comments:
Post a Comment