Jengo la madarasa mawili 2 ya Shule ya sekondari ya Mtimbwani yaliyojengwa na kampuni ya vodacom Tanzania kupitia kitengo chake cha Vodacom Foundation yakiwa katika muonekano baada ya kukabiziwa kwa shule ya sekondari ya Mtimbwani iliyopo katika Wilaya ya Mkinga, mkoa wa Tanga. Madarasa hayo yamegharimu kiasi cha shilingi Milioni 22.
Mkinga kabla ya kukabidhi Msaada wa Madarasa 2 kwa shule ya sekondari ya Mtimbwani yaliyojengwa na Vodacom Tanzania kupitia kitengo chake cha Vodacom Foundation yakiwa yamegharimu kiasi cha shilingi Milioni 22.hapo awali shule hiyo ilikuwa na madarasa Manne tu kutokana na kujengwa kwa madarasa hayo mawili kumeongezeka idadi na kufikia madarasa Sita.
essaya Mwakifulefule akijichana vilivyoo,
















No comments:
Post a Comment