Mmoja wa watoto wanaosoma katika shule ya msingi ya Mtanda ya Lindi akimpeleka mwanafunzi wa zamani aliyesoma katika shule hiyo miaka ya 2003 Mwamvita Makamba ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Uhusiano wa Vodacom Tanzania wakati alipokwenda kutembelea katika shule hiyo kujionea maandeleo ya shule hiyo aliyosama darasa la tatu kabala ya kuihama kipinda baba yake alipokuwa akifanya kazi katika Mkoa huo wa Lindi
Afisa Mauzo wa Vodacom Mkoa wa Mtwara Erasto Chiwango.
Wadogo zangu mimi nilisoma hapa na sasa nina kazi nzuri kwa hiyo na ninyi jitahidini msome kwa bidii muwe kama mimi sawa ,ndiyoo dada yetu, Mwamvita Mamkamba akiwaasa wanafunzi wa darsa la pili katika shule ya Mtanda ya mkoa wa Lindi ,wasome kwa bidii wakati alipofanya ziara ya kutembelea shule hiyo ailiyosoma darasa la Tatu.
1 comment:
ferragamo belt
golden goose
yeezy boost 350 v2
christian louboutin outlet
louboutin shoes
moncler jackets
hermes belts for men
converse shoes
supreme
moncler jackets
Post a Comment