Pages

December 1, 2009

Asha Baraka Chali Wanamuziki Wake woke Wahudhuri Onyesho la Mapacha Wanne.

Mwanamuziki wa siku nyingi Hamza Kalala akimba pamoja na wanamuziki wanaounda bendi ya Mapacha wanne, kulia Jose Mala aliyekuwa FM, Kalala Junior aliyekuwa Twanga Pepeta na Hald Chokala aliyekuwa Twanga katika uzinduzi wa bendi yao uliofanyika usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa Sterio Kinondoni hapa walikuwa wakiimba wimbo wa nimekusamehe lakini sitokusahau.

Sebeni.

Jose Mala, Banza Stoni, Kalala Junior, Msafiri Diofu na Hald Chokola wakishambulia jukwa katika uzinduzi wa bendi mpya ya Mapacha Wanne lakini hata hivyo mmoja aliingaia mitini na kufanyaniitwa mapacha watatu. Banza stoni awa kivutio katika uzinduzi huo


Mambo ya kupata ma-drinks kwenda mbele.

1 comment:

  1. Anonymous5:36 PM

    hongereni sana mapacha ... maendeleo ni kujituma..

    Mpo juu na kwa kuwa mmefanya kwa moyo mtafanikiwa.

    ReplyDelete