Welcome to pwaniraha blog please contribute by posting your comments on our blog, kindly note that abussive language is strictly not entertained. Thank you.
Welcome To Pwani Raha Blog; email us at "pwaniraha@gmail.com"

November 4, 2009

Kiberiti Cha Morocco

Wakaazi wengi wa Dar es salaam walidhani kuwa jengo litakuwa moja ya majengo marefu mjini (Tower), kumbe ni jengo tu la kawaida, "just another building".

Jengo hili la kawaida lipo katika sehemu nzuri sana jijini Dar es salaam, katika makutano ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi na barabara ya Kawawa.

2 comments:

Anonymous said...

Mimi nilidhani itakuwa ghorofa kama ishirini hivi kumbe tano tu basi heri ingebaki ile hoteli ya ambaseda tukawa tunaserebuka na njenje kila jumamosi.

Anonymous said...

Mie nilidhani kutakuwa na shopping mall kama vile mlimani.