Kijana wetu Kanumba alipokuwa ndani ya jengo la Big Brother Africa Revolution. Kijana huyu ametuwakilisha vilivyo, watu wengi wemamsifia sana kwa jinsi anavyoongea ngeli na vazi lake zuri la rangi ya pinki.
6 comments:
Anonymous
said...
Ahhh ngeli alitema ya ajabu ile mbaya. Kama kuwakilisha ndio huku basi tumewakilishwa.
6 comments:
Ahhh ngeli alitema ya ajabu ile mbaya. Kama kuwakilisha ndio huku basi tumewakilishwa.
Ehh bwana ehh.
Ehh bwana ehh.
ah mzee wa "im closed,mambo vp?"
yani kufunga mwezi wa ramadhani kumbe kwa english ni kuclose? duh..nilikuwa sijajua mkuu!
hahaha
hahaha
tehe tehe teh mzee wa aaaa mmmhh eeh yaaa umesha open??hivi umesoma wapi homeboy kimombo kinakutesa eeh
Bwana huyu namshauri huyu aende pale English Fountain itakuwa poa sana.
Post a Comment