Hivi majuzi mwanamuziki wa miondoko ya hip hop Kanye West alimpokonya kipaza sauti (mic) mwanadada mmoja ambaye alikuwa ameshinda best video kwenye MTV awards. Kanye aliibuka kwenye jukwaa akidai kuwa Beyonce ndio anastahili ushindi huwo. Baadaye Kanye alimrudishia "mic" huyo dada lakini mwanamuziki huyo alishindwa kuongea kutokana na kitendo alichofanyiwa na Kanye.
Kanye alimtoa nishai hadharani huku umati wa watu ukiangalia kwenye TV. Mwanamuziki huyo alikuwa anatoa shukrani zake wakati aliposhinda tuzo hiyo na ghafla tu Kanye akampokonya mic na kumsifia Beyonce. Alipomrudishia "mic" mwanadada huyo alishindwa kusema chochote. Watu wengi walichukizwa na kitendo cha Kanye, miongoni mwao akiwa Barack Obama.
Obama alikuwa anajiandaa na interview ya televisheni kupitia kituo cha CNN ndipo alipoponyokwa na mdomo na kumwita Kanye West kuwa ni "Mpumbavu flani" (Jack Ass). Obama alidhani kuwa kamera zilikuwa hazijaanza kurekodi.
retro jordans
ReplyDeleteoff white shoes
off white hoodie
off white shoes
golden goose sneakers
supreme
yeezy shoes
golden goose
nike travis scott
golden goose