Welcome to pwaniraha blog please contribute by posting your comments on our blog, kindly note that abussive language is strictly not entertained. Thank you.
Welcome To Pwani Raha Blog; email us at "pwaniraha@gmail.com"

September 5, 2009

Benki ya Wanawake Yazinduliwa Jana (Tanzania Women's Bank).

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akichapa kazi wakati wa uzinduzi wa benki ya wanawake jana hapo anachukua moja ya vitu muhimu vilivyokuwa vikiongelewa na waziri sita wakati alipokuwa akisoma speech.

Mama Salma Kikwete akisakata rusha roho wakati wa uzinduzi wa benki ya wanawake, iliyopo jijini DAR ES SALAAM mtaa wa Salamanda.karibu na posta ya zamani.

Mkurugenzi mkuu wa benki ya wanawake Tanzania Margaret Chacha akisoma hotuba ya maendeleo ya benki hiyo.

Mbunge wa Viti maalum Mchungaji wa kanisa la Assembless of God Mama Rwakatale akicheza mziki wa kidunia (rusha roho) iliyokuiwa ikipigwa na bendi ya TOT .wakati wa uzinduzi wa benki ya wanawake ilipozinduliwa na Rais Kikwete jana, wengine walioshambulia jukwaa hilo ni Mke wa Rais mama Salma Kikwete, Mke wa spika Mama Margaret Sitta (kushoto) Mke wa Rais Mstaafu awamu ya pili mama Mwinyi na Waziri Sophia Simba.

2 comments:

Anonymous said...

Namwona mama Lwakatare akifanya vitu vyake duh safi sana.

Simon Kitururu said...

Mimi nasubiri Benki ya wanaume ilikukuza usawa:-)