Mama akiwa amebeba begi kichwani huku mkononi akiwa amemshika Jogoo la kuku katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani Ubungo. Kina mama wengi hupata shida wakati wanapokuwa katika safari zao kutokana na kubeba mizigo mingi ambayo ni zawadi.
August 28, 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment