Naibu mkurugenzi wa Michezo kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo Bwana Charles Matoke na kocha mkuu wa timu ya Taifa Marcio Maximo wakiwa pamoja na wadhamini katika hafla fupi ya kukabidhi bendera kwa timu ya Taifa inayoelekea Rwanda kwa mechi ya kimataifa ya kirafiki na Rwanda.
August 10, 2009
Taifa Stars Kuelekea Rwanda.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
















No comments:
Post a Comment