Wanenguaji wa bendi ya Extra Bongo wakiwa mazoezini cocobeachi kwa maandalizi ya uzinduzi wa bendi yao Agosti 21 jijini,kutoka kushoto Halma Ibrahim,Khadija Mohamed,Fani Ramadhani,husna Ramadhani.
Halma Ibrahim na Shabani Ramadhani aka, shedinga . Mazoezi hayo ni yakufa mtu hata Mtibwa na Lyon Africa hawawezi mazoezi kama hayo. Mkurugenzi wa bendi ya Extra bongo Ali Choki akiwa na wanamuziki wake wakati wa mazoezi yaliyofanyika coco beach kwa ajili ya maandalizi ya kujiandaa na uzinduzi wa bendi yao utakaofanyika Augosti 21 jijini Dar. Picha zaidi..... Mazoezini kwenye band. Jogging mdogo mdogo.
2 comments:
mdau vipihio goma mpododo!!!!????
yeezy
yeezy supply
golden goose
curry 8
moncler
off white
off-white
supreme clothing
jordan shoes
chrome hearts online store
Post a Comment