Welcome to pwaniraha blog please contribute by posting your comments on our blog, kindly note that abussive language is strictly not entertained. Thank you.
Welcome To Pwani Raha Blog; email us at "pwaniraha@gmail.com"

March 28, 2009

MCHINGA SOUND KUKUMBUKWA LEO VATICAN CITY SINZA.

Wanamuziki ambao walikuwa wakiunda kundi la muziki wa dansi la muchinga sound lililokuwa likiongozwa na Adolf Mbinga kesho jioni katika ukumbi wa vaticani city uliopo sinza wataikumbuka bendi hiyo ikiwa nim pamoja na kumpa pole aliyekuwa mmiliki wa bendi hiyo Mh Mudhihiri Mudhihiri ambaye alikatika mkono kwa ajari ya gari wakati alipokuwa ikielekea jimboni kwake.

Muumini Mwijuma pia aliwahikuwa katika bendi hiyo.

Bendi hiyo iliundwa na Adolf Mbinga ,Prince Mwumini Juma, Mashaka Karunde, nk kesho watakaumbuka enzi zao.

Kulia ni Deo Mwanambilimbi akiwa na Adolph Mbinga.

Wanenguaji wanaonyesha jinsi watakavyofanya vitu vyao leo hapo Vatican Sinza. Hawa hapa kuanzia kushoto ni Amina Rusha Roho, Grace Kiza Kinene na Queen Vero.

3 comments:

rita said...

Looks like you guys are having lots of fun.

Ahmed said...

Mambo ya kawaida ya weekend haya.

Anonymous said...

I would like to exchange links with your site www.blogger.com
Is this possible?