Pages

January 19, 2010

Mduara Unavyochezwa.

Angalia jinsi njemba huyu akicheza nyimbo ya Samaki alivyoweka vidole vyake.

Je hivi ndivyo mduara unavyochezwa na waume?

8 comments:

  1. Anonymous6:07 PM

    hapana mtu hapa, mwangalie vile jicho alivyolilegeza.

    ReplyDelete
  2. Anonymous6:45 PM

    Hizi nyimbo ya mduara zitaleta balaa, haya ni mambo ya bata na kuku, duh.

    ReplyDelete
  3. Anonymous6:48 PM

    Anafaa achunguzwe, huyu ashakuwa auntie

    ReplyDelete
  4. Anonymous7:07 PM

    hizo njemba zote ni mipunga hizo,
    watu wanapakua tu kama hawana akili nzuri!!!

    ReplyDelete
  5. Mzenji7:29 PM

    Jamani hii ni staili ya kwenye wazanzibari sie, hatubebi vitu vizito, kwani mwataka tuonyeshe ngumi tukicheza, itakuwa dansi hiyo au vurugu? kwa raha zetu mtasema sana.

    ReplyDelete
  6. Mbongo9:24 PM

    Nasikia mambo haya yapo sana Mombasa, mpaka watoto wa kiume hufungiwa ndani. yani wanachungwa kwenda mbele.

    ReplyDelete
  7. Anonymous1:32 PM

    je wewe ni member

    ReplyDelete
  8. Anonymous10:26 PM

    "MTOTO WA WATU" JAMANI MWACHENI

    ReplyDelete