Welcome to pwaniraha blog please contribute by posting your comments on our blog, kindly note that abussive language is strictly not entertained. Thank you.
Welcome To Pwani Raha Blog; email us at "pwaniraha@gmail.com"

October 18, 2009

Harusi Imekutumbukia Nyongo Mzee.

Kitumbua chataka kuingia mchanga, hatihati kibarua kuota nyasi. Arudi kutoka harusini gari laharibika njiani na kazini atakiwa jumatatu mawasiliano hamna. Jamani kindumbwendumbwe hichi chategemea maombi yenu afike kazini. Huyu bwana ndiye aliyekuwa msimamizi katika harusi ya Chanaga.

1 comment:

Peter said...

Nimefurahi kuiona blog yako na pia nimeona tushare na wewe blog nyingine hii hapa
http://harusiyetu.blogspot.com

Tushirikishane tutafika.