Naye Afisa Taaluma wa Wilaya ya Ilala (Shule za Msingi) Joyce Senkoro, aliipongeza kampuni hiyo kwa kuendesha mpango huo ambao alisema una manufaa makubwa sana kwa taifa hili. “Mpango huu una manufaa sana na nimewaomba waalimu watambue kwamba mafunzo haya si kwa ajili yao bali ni kwa shule wanazotoka, hivyo wahakikishe kwamba ujuzi wanaoupata” Alisema kwamba serikali inafarijika sana inapoona sekta binafsi inashiriki katika masula ya kukuza elimu hapa nchini. Alisema serikali kwa upande wake itaendelea kuwaunga makono watu wenye moyo wa kukuza elimu hapa nchini na kwamba elimu ni muhimu kwa maendeleo ya taifa letu.
July 20, 2009
Pearson Longman yaendesha mafunzo kwa waalimu 600
Naye Afisa Taaluma wa Wilaya ya Ilala (Shule za Msingi) Joyce Senkoro, aliipongeza kampuni hiyo kwa kuendesha mpango huo ambao alisema una manufaa makubwa sana kwa taifa hili. “Mpango huu una manufaa sana na nimewaomba waalimu watambue kwamba mafunzo haya si kwa ajili yao bali ni kwa shule wanazotoka, hivyo wahakikishe kwamba ujuzi wanaoupata” Alisema kwamba serikali inafarijika sana inapoona sekta binafsi inashiriki katika masula ya kukuza elimu hapa nchini. Alisema serikali kwa upande wake itaendelea kuwaunga makono watu wenye moyo wa kukuza elimu hapa nchini na kwamba elimu ni muhimu kwa maendeleo ya taifa letu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment