Welcome to pwaniraha blog please contribute by posting your comments on our blog, kindly note that abussive language is strictly not entertained. Thank you.
Welcome To Pwani Raha Blog; email us at "pwaniraha@gmail.com"

July 20, 2009

Football holliganism in Zanzibar

Timu ya magereza ilivyowashangaza wazanzibar kwa jina lingine wanajiita timu ya mafunzo. Timu hii imepanda daraja mwaka huu na kuivua ubingwa timu kongwe ya miembeni kwa kuichapa mabao mawili mkwa moja, wafungwa washangilia ushindi huo kwa kucheza muziki.

Mashabiki wa mpira ndo hao.

Ajali kazini ndo mambo ya mpira.

"Yahye maji huwekwa kwenye ndo alafa twayanywa tukisikia kiu yahye"

No comments: